You are here
Back to topSudi na shada sokoni (Paperback)
$12.00
Special Order
Description
Masomo ya Ijumaa yanapokamilika katika shule ya msingi ya Mwangaza,
mwalimu anawapa Sudi, Shada na wanafunzi wenzao wa gredi ya tatu
kazi ya ziada. Mwalimu anawaagiza kuwa wakati wa wikendi waende
sokoni ili kufanya kazi hiyo. Je, Sudi na Shada wanapoenda sokoni
wanapata yepi huko?
Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo
zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza
ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha
uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha
na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo
yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.